.

.

.

.

.

.

.

,

,

.

.

Jumamosi, 18 Julai 2015

Tagged Under:

MANCHESTER UNITED WAMGEUKIA FOWADI WA BARCELONA PEDRO

By: Unknown On: Jumamosi, Julai 18, 2015
  • Share The Gag

  • Anatakiwa Old Trafford
    Manchester United kwa karibu sana wanafukuzia sahihi ya Fowadi  wa  Barcelona Pedro

     Arda Turan (katikati) na Gerard Pique wakati wa mzoezi

    Meneja wa Chelsea Jose Mourinho nae amekuwa akimwitaji mchezaji huyo Pedro anayeuzwa dau kama la
    £22m

    Kocha wa Man United  Louis van Gaal bado anaendelea kuwa bize kuboresha Kikosi chake.

    Mchezaji wa zamani wa Timu ya  Bayern Munich Bastian Schweinsteiger na sasa Manchester United wakiwa kwenye mazoezi ambapo Kocha huyo ameamua kabla ya Msimu ujao kuanza kuboresha kikosi chake

    0 maoni:

    Chapisha Maoni