.

.

.

.

.

.

.

,

,

.

.

Jumatatu, 13 Julai 2015

Tagged Under:

huzuni kwa mashabiki wa vichekesho…R.I.P!

By: Unknown On: Jumatatu, Julai 13, 2015
  • Share The Gag


  •  

    Muigizaji Benson Wanjau wa Kenya maarufu kama Mzee Ojwang wa vipindi kama Vitimbi, Vioja 
    Mahakamani, Vituko, Kinyonga na vingine vingi afariki dunia jana Usiku akiwa amelazwa hospitali ya taifa ya Kenyatta National Hospital. Mzee Ojwang alikuwa anasumbuliwa na Pneumonia.
    ojwang3
    Wakenya wengi wameguswa na msiba huu huku baadhi ya watu wakipost ujumbe tofauti kwenye mitandao wa Twitter kuonyesha kuguswa kwa msiba huu wa aliekuwa mchekeshaji mkongwe wa Kenya.


    0 maoni:

    Chapisha Maoni