Tagged Under:
RAIS AKUTANA TIMU YA MAVETERANI BACELONA
By:
Unknown
On: Ijumaa, Aprili 10, 2015
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohammed Shein
akikabidhiwa Jezi ya Bacelona namba 14 ya mchezahji wa zamzni akiwa
kocha Johan Cruyff (kushoto)wakati wa hafla fupi ya chakula jioni
iliyofanyika jana Ikulu Mjini Zanzibar timu hiyo ilipokutana na
Rais.[Picha na Ikulu)
0 maoni:
Chapisha Maoni