MENEJA
wa klabu ya Real Madrid, Carlo Ancelotti ana uhakika kikosi kiko imara
kukabiliana na mahasimu wao wa jiji Atletico Madrid katika mchezo wa
marudiano wa robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya kesho. Kikosi cha
Madrid kinakabiliwa na nyota kadhaa majeruhi akiwemo Luka Modric, Gareth
Bale na Karim Benzema.
Jumatano, 22 Aprili 2015
Tagged Under:
CARLO ANCELOTTI: TUTAPAMBANA KUFA NA KUPONA DHIDI YA ATLETICO MADRID LICHA YA KUANDAMWA NA MAJERUHI!!
By:
Unknown
On: Jumatano, Aprili 22, 2015
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
0 maoni:
Chapisha Maoni