.

.

.

.

.

.

.

,

,

.

.

Jumanne, 7 Aprili 2015

Tagged Under:

TAMASHA LA PASAKA LA KAPOTIVE STAR SINGERS BUKOBA LILIVYOKUWA SIKU YA PASAKA MJINI GEITA

By: Unknown On: Jumanne, Aprili 07, 2015
  • Share The Gag
  • www.bukobasports.comNa Faustine Ruta, Geita
    Kikundi mahiri cha KAPOTIVE Star Singers kutoka Mjini Bukoba leo kimefanya Tamasha kubwa la Pasaka kwenye Mji wa Geita katika Ukumbi wa GEDECO na kushuhudiwa na Umati wa Watu wengi zikiwemo Kwaya mbalimbali za hapa Geita na Waumini mbalimbali na kuifurahia Pasaka hiyo ambayo ni Alama ya Ukombozi wa Mwanadamu dhidi ya Dhambi kupitia kifo na Ufufuko wa Yesu Kristo. Wana'KAPOTIVE walisindikizwa na kwaya ya Mt. Thomas wa Aquino na Aaron Entertainment wa hapo Geita. Watu walivutiwa sana na kiwango cha juu ya kikundi cha KAPOTIVE mpaka wengine wakadiriki kusema sio kutoka Bukoba.www.bukobasports.comKwaya Mt. Thomas wa Aquino ikitoa burudani kwenye Tamasha la Pasaka- Geita.
    www.bukobasports.comBaadhi ya masista waliohudhuria tamasha hilo.
    www.bukobasports.comKiongozi wa Kikundi cha Kapotive Star Singers Bukoba Ndg Andrew Kagya wakati wa Kutambulisha Kikundi hicho cha Kapotive kwa Wakaazi waliojitokeza katika Ukumbi wa GEDECO wakati wa Tamasha hilo la Pasaka leo Jumapili.
    www.bukobasports.comWatu hawakuweza kujizuia na kuanza kujimwaga kwa muziki wa Yesu, palikuwa hapatoshi!!!!www.bukobasports.comVijana machachari wa Kapotive Star Singers, Denis Deus na Claudius Mutabuzi wakilikamatilia jukwaa kwa mbwembwe zote ilimradi kuwakamata watazamaji waliofurika ukumbi wa GEDECO.
    www.bukobasports.comHii ni hatari "ebye'hatari"!!!
    Lazima nichukue kumbukumbu hizi, hawa vijana si wa kawaida, ndivyo anavyoonekana kusema mama huyo.

    Kazi ndo imekamata kisawasawa.

    Kinyumbani zaidi, empundu nengoma tuteere!!!
    Kwaya ya Mt. Aquino walitoa zawadi ya kipekee kwa Kapotive Star Singers, hapa mwenyekiti wao akiwa na baadhi ya wana'KAPOTIVE.
    Mambo si ndo hayo!!!!
    Mayahudi wakiwa kazini!!!!



    Yesu akiwa tayari ametundikwa Msalabani katika Igizo hilo kwenye Ukumbi wa GEDECO mjini Geita leo wakati wa Tamasha la Sikukuu ya Pasaka leo Jumapili

    0 maoni:

    Chapisha Maoni