.

.

.

.

.

.

.

,

,

.

.

Jumapili, 19 Aprili 2015

Tagged Under:

NEWCASTLE UNITED 1 vs 3 TOTTENHAM

By: Unknown On: Jumapili, Aprili 19, 2015
  • Share The Gag
  • Harry Kane celebrates scoringHarry akituma salaam kwa mashabikiHarry Kane scoresKane akifunga baoNacer Chadli dakika ya 30 aliifungia bao la kuongoza Spurs kwa kufanya 1-0 dhidi ya Newcastle United.Jack Colback celebrates with team mates after scoring
    Kipindi cha pili dakika ya 45 walifanya mabadili kwa makini kwa
    Sammy Ameobi kumbadili Yoan Gouffran na Gabriel Obertan kumbadili Mehdi Abeid na kupata bao dakika ya mapema bao la kusawazisha katika dakika ya 46 kwa kufanya 1-1 bao lililofungwa na Jack Colback.

    Jack Colback reacts during the match
    Dakika ya 53 Spurs walipiga mpira wa adhabu frii kiki na kuzama moja kwa moja ndani ya lango la Newcastle United na kujipatia bao la kuongoza la pili, Frii kiki iliyopigwa na Christian Eriksen na kufanya 2-1.

    Christian Eriksen celebrates with team mates after scoring
    Bao la mwisho la tatu kwa Spurs lilifungwa na Staa wao wa mabao Harry Kane katika dakika ya majeruhi na mtanange kumalizika kwa 3-1 dhidi ya Newcastle United. Harry Kane akifikisha jumla ya mabao 20 msimu huu.Tim Krul watches Christian Eriksen's freekick go in his goalUshindi huu wa Tottenham umewapandisha hadi Nafasi ya 6 wakifungana Pointi na Liverpool walio Nafasi ya 5 wote wakiwa Pointi 7 nyuma ya Timu ya 4 Man City.Christian Eriksen scores with a freekickJack Colback and Ayoze Perez prepare to restart after conceding the first goalMaelfu ya Mashabiki wao wakigomea kuhudhuria Mechi ya Timu yao Newcastle ilipocheza Uwanjani kwao Saint James Park dhidi ya Tottenham wakionyesha mshikamano wa kumpinga Mmiliki wa Klabu yao, Mike Ashley, Tottenham haikuwa na huruma ilipowashindilia Bao 3-1 katika Mechi ya Ligi Kuu

    0 maoni:

    Chapisha Maoni