Harry akituma salaam kwa mashabikiKane akifunga baoNacer Chadli dakika ya 30 aliifungia bao la kuongoza Spurs kwa kufanya 1-0 dhidi ya Newcastle United.
Kipindi cha pili dakika ya 45 walifanya mabadili kwa makini kwa
Sammy
Ameobi kumbadili Yoan Gouffran na Gabriel Obertan kumbadili Mehdi
Abeid na kupata bao dakika ya mapema bao la kusawazisha katika dakika ya
46 kwa kufanya 1-1 bao lililofungwa na Jack Colback.
Dakika
ya 53 Spurs walipiga mpira wa adhabu frii kiki na kuzama moja kwa moja
ndani ya lango la Newcastle United na kujipatia bao la kuongoza la pili,
Frii kiki iliyopigwa na Christian Eriksen na kufanya 2-1.
Bao la mwisho la tatu kwa Spurs
lilifungwa na Staa wao wa mabao Harry Kane katika dakika ya majeruhi na
mtanange kumalizika kwa 3-1 dhidi ya Newcastle United. Harry Kane
akifikisha jumla ya mabao 20 msimu huu.Ushindi
huu wa Tottenham umewapandisha hadi Nafasi ya 6 wakifungana Pointi na
Liverpool walio Nafasi ya 5 wote wakiwa Pointi 7 nyuma ya Timu ya 4 Man
City.Maelfu
ya Mashabiki wao wakigomea kuhudhuria Mechi ya Timu yao Newcastle
ilipocheza Uwanjani kwao Saint James Park dhidi ya Tottenham wakionyesha
mshikamano wa kumpinga Mmiliki wa Klabu yao, Mike Ashley, Tottenham
haikuwa na huruma ilipowashindilia Bao 3-1 katika Mechi ya Ligi Kuu
Jumapili, 19 Aprili 2015
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
0 maoni:
Chapisha Maoni