Real Madrid inazidi kuipumulia Barcelona katika mbio za
La Liga baada ya kuichapa Rayo Vallecano 2-0 Kwa ushindi huo, Real
Madrid inaendelea kutofautishwa kwa pointi kati yake na Barcelona ambayo
hapo awali iliifumua Almeria 4-0. Ronaldo akishangilia bao lake la 300Mabao
ya Real Madrid yamefungwa na Cristiano Ronaldo aliyetupia katika dakika
ya 68 muda mfupi baada ya kulimwa kadi ya njano kwa kujirusha huku bao
la pili likifungwa na James Rodriguez dakika ya 74.
Alhamisi, 9 Aprili 2015
Tagged Under:
LA LIGA:REAL MADRID YAICHAPA RAYO VALLECANO 2-0 YAIPUMULIA BARCELONA, CRISTIANO RONALDO AFUNGA BAO LAKE LA 300
By:
Unknown
On: Alhamisi, Aprili 09, 2015
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
0 maoni:
Chapisha Maoni