Barcelona Mabingwa Klabu Bingwa Ulaya
Raha ya ushindi kwa Barcelona wakishangilia baada ya kunyakuwa Trebo yao kwa kuifunga Juventus bao 3-1 usiku huu huko Berlin, Bao la kwanza lilifungwa na Rakitic, Surez na Neymar
Neymar na mwenzake wakiwa vifua wazi mbele ya waandishi wa Kamera baada ya mpira kumalizika
Luis Suarez Bao la tatu na Ushindi lilifungwa na Neymar baada ya kuwachomoka mabeki na kufunga bao hilo na mtanange kumalizika kwa bao 3-1 dhidi ya Juventus. Ushindi Huu unawafanya Barca kutwaa Trebo kwa kutwaa makombe matatu kwa msimu mmoja.3-1Neymar akishangilia bao lake la tatu kwenye dakika ya majeruhi 90
Meneja wa Barca hakutosha wala kupimika!!!
Raha ya Ushindi huko Berlin, Germany, kwenye Fainali ya UEFA CHAMPIONS LIGI, FC Barcelona ya Spain waliichapa Juventus ya Italy Bao 3-1 na kutwaa Ubingwa wa Ulaya hii ikiwa ni mara yao ya 5.
Ubingwa huu wa Ulaya, katika Fainali ya 60 ya Klabu Bingwa ya Ulaya, ni wa 3 kwa Barca katika Miaka 6 iliyopita na umewapa Trebo Msimu huu, ukiwa ni Msimu wa Kwanza kwa Kocha wao Luis Enrique, baada ya pia kutwaa Ubingwa wa La Liga na Copa del Rey.
Neymar akifanya yake!2-1 mtaipenda!!!Kupongezana muhimuSuarez kashamaliza!Luis Suárez akishangilia bao lake la dakika ya 68 kipindi cha pili.Luis Suárez dakika ya 68 aliwafungia bao la pili Barcelona na kufanya 2-1 dhidi ya Juventus.Paul Pogba chupuchupu aumalize!Pogba akililia penati!La mkono lilikataliwa!!!Kipindi cha pili dakika ya 55 Morata aliwasawazishia bao Juventus kwa kufanya 1-1 baada ya kipa wa Barca kuutema mpira na Morata kuumalizia.Baadhi ya wachezaji wa Barca wakipongezana baada ya kupata bao la kuongozaIvan Rakitic(katikati) akishangilia bao lake, Bao hilo lilidumu mpaka wameenda mapumziko kipindi cha kwanza.Ivan Rakitic akipongezwa na Lionel MessiKipa wa Barca Marc -Andre shangwe!Ivan Rakitic alivyowapachikia bao la kuongoza Barca mapema kipindi cha kwanza.
Raha ya ushindi kwa Barcelona wakishangilia baada ya kunyakuwa Trebo yao kwa kuifunga Juventus bao 3-1 usiku huu huko Berlin, Bao la kwanza lilifungwa na Rakitic, Surez na Neymar
Neymar na mwenzake wakiwa vifua wazi mbele ya waandishi wa Kamera baada ya mpira kumalizika
Luis Suarez Bao la tatu na Ushindi lilifungwa na Neymar baada ya kuwachomoka mabeki na kufunga bao hilo na mtanange kumalizika kwa bao 3-1 dhidi ya Juventus. Ushindi Huu unawafanya Barca kutwaa Trebo kwa kutwaa makombe matatu kwa msimu mmoja.3-1Neymar akishangilia bao lake la tatu kwenye dakika ya majeruhi 90
Meneja wa Barca hakutosha wala kupimika!!!
Raha ya Ushindi huko Berlin, Germany, kwenye Fainali ya UEFA CHAMPIONS LIGI, FC Barcelona ya Spain waliichapa Juventus ya Italy Bao 3-1 na kutwaa Ubingwa wa Ulaya hii ikiwa ni mara yao ya 5.
Ubingwa huu wa Ulaya, katika Fainali ya 60 ya Klabu Bingwa ya Ulaya, ni wa 3 kwa Barca katika Miaka 6 iliyopita na umewapa Trebo Msimu huu, ukiwa ni Msimu wa Kwanza kwa Kocha wao Luis Enrique, baada ya pia kutwaa Ubingwa wa La Liga na Copa del Rey.
Neymar akifanya yake!2-1 mtaipenda!!!Kupongezana muhimuSuarez kashamaliza!Luis Suárez akishangilia bao lake la dakika ya 68 kipindi cha pili.Luis Suárez dakika ya 68 aliwafungia bao la pili Barcelona na kufanya 2-1 dhidi ya Juventus.Paul Pogba chupuchupu aumalize!Pogba akililia penati!La mkono lilikataliwa!!!Kipindi cha pili dakika ya 55 Morata aliwasawazishia bao Juventus kwa kufanya 1-1 baada ya kipa wa Barca kuutema mpira na Morata kuumalizia.Baadhi ya wachezaji wa Barca wakipongezana baada ya kupata bao la kuongozaIvan Rakitic(katikati) akishangilia bao lake, Bao hilo lilidumu mpaka wameenda mapumziko kipindi cha kwanza.Ivan Rakitic akipongezwa na Lionel MessiKipa wa Barca Marc -Andre shangwe!Ivan Rakitic alivyowapachikia bao la kuongoza Barca mapema kipindi cha kwanza.
0 maoni:
Chapisha Maoni