Timu ya Taifa ya Jangombe itaungana na Timu za Yanga, Simba na Azam katika mchezo wa Nusu Fainali utakaofanyika siku ya Jumanne katika uwanja wa Amaan Zanzibar. kwa mechi mbili jioni na usiku
Katika mchezo wa jioni wa michuano hiyo hatua ya nusu fainali itazikutanisha Timu ya Taifa ya Jangombe na Azam utachezwa kesho jioni na wakati wa usiku nyasi za uwanja wa Amaan zitapata kishindo cha mchezo wa watani wawili Simba na Yanga zitaumana kuwania nafasi ya kucheza fainali tarehe 13-1-2017. kuhitimisha michuano hiyo ya kumi na moja ya Mapinduzi Cup,
0 maoni:
Chapisha Maoni