.

.

.

.

.

.

.

,

,

.

.

Alhamisi, 1 Oktoba 2015

Tagged Under:

AIRTEL YATOA GAWIO LA TSHS BILIONI 5.3 KWA WATEJA WA AIRTEL MONEY

By: Unknown On: Alhamisi, Oktoba 01, 2015
  • Share The Gag


  • Meneja biashara wa kitengo cha  Airtel Money,  Bwn Asupya Naligingwa
    (kushoto) akiongea na waandishi wa habari wakati wa kutangaza Airtel
    kugawa gawio la faida la zaidi ya  shilingi billion 5 kwa wateja na
    mawakala wake wanaotumia huduma ya Airtel Money nchi nzima.  Pichani
    ni Afisa uhusiano wa Airtel Tanzania Bi Jane Matinde

    KAMPUNI ya simu za mkononi
    ya Airtel leo imetangaza kugawa zaidi ya shilingi bilioni 5 kwa wateja
    na mawakala wake wanaotumia huduma ya Airtel Money nchi nzima

    Uamuzi huo wa kutoa gawio la faida lililopo katika akaunti  ya
    udhamini ya wateja wa Airtel Money (Trust account)  litawawezesha
    wateja wa Airtel kulipwa kiwango kizuri cha gawio la faida.  Kiwango
    hiki cha pesa kitalipwa kutokana na  kiasi cha pesa mteja alichokuwa
    nacho kw

    0 maoni:

    Chapisha Maoni