Mkwasa amesema kujitolea kwa wachezaji wa Taifa Stars (uzalendo) katika mchezo huo kulipelekea kuwapa wakati mgumu wenyeji, huku watanzania waliojitokeza kuja kushuhudia mchezo huo wakiwashangilia muda wote wa mchezo.
 “Kiukweli
 japo timu haikuweza kupata matokezo mazuri sana, lakini tunamshukuru 
mungu ndani ya wiki moja ya maandalizi, tumeweza kuwapa maelekezo vijana
 na kuyafanyia kazi, japo wengine walikua wakicheza kwa mara ya kwanza 
timu ya Taifa walicheza vizuri, kijumla wote kwa pamoja walifanya vizuri
 sana katika mchezo dhidi ya Uganda” alisema Mkwasa.
“Kiukweli
 japo timu haikuweza kupata matokezo mazuri sana, lakini tunamshukuru 
mungu ndani ya wiki moja ya maandalizi, tumeweza kuwapa maelekezo vijana
 na kuyafanyia kazi, japo wengine walikua wakicheza kwa mara ya kwanza 
timu ya Taifa walicheza vizuri, kijumla wote kwa pamoja walifanya vizuri
 sana katika mchezo dhidi ya Uganda” alisema Mkwasa. Aidha
 Mkwasa amesema kwa sasa wataomba kupata nafasi ya japo siku 10 kufanya 
mazoezi kwa pamoja kujiandaa na mchezo wa kuwania kufuzu kwa Fainali za 
Mataifa Afrika (AFCON) dhidi ya Nigeria Septemba 5 mwaka huu, na 
kuwaomba watanzania wote kuwaunga mkono katika maandilizi hayo.
Aidha
 Mkwasa amesema kwa sasa wataomba kupata nafasi ya japo siku 10 kufanya 
mazoezi kwa pamoja kujiandaa na mchezo wa kuwania kufuzu kwa Fainali za 
Mataifa Afrika (AFCON) dhidi ya Nigeria Septemba 5 mwaka huu, na 
kuwaomba watanzania wote kuwaunga mkono katika maandilizi hayo. 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
0 maoni:
Chapisha Maoni