.

.

.

.

.

.

.

,

,

.

.

Jumamosi, 14 Machi 2015

Tagged Under:

RAIS KIKWETE AFANIKISHA HARAMBEE YA KUCHANGIA UJENZI WA CHUO KIKUU CHA TUMAINI, 1.6bn/- zapatikana usiku huu diamond jubilee hall dar es salaam

By: Unknown On: Jumamosi, Machi 14, 2015
  • Share The Gag
  •  Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na Naibu Waziri wa Elimu na Ufundi Mhe. Anne Kilango Malecela, Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dr Alex Gehaz Malasusa, Mwenyekiti wa Harambee hiyo na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) Bw. Nehemia Mchechu na wachangiaji wakubwa katika harambee hiyo iliyofanyika usiku huu katika ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es salaam ambapo jumla ya shilingi bilioni 1.6 kati ya shilingi bilioni 2 zinazohitajika zilipatikana. Michango hiyo ni ya kufanikisha upanuzi wa chuo hicho katika awamu ya pili.

     Rais Kikwete katika picha ya pamoja na wakuu wa majimbo ya KKKT, Wachungaji, Wainjilisti na wafanyakazi wa Parish na viongozi wengine
     Rais Kikwete katika picha ya pamoja na wakuu wa majimbo ya KKKT, Wachungaji, Wainjilisti na wafanyakazi wa Parish na viongozi wengine
     Rais Kikwete akipongezwa kwa kufanikisha harambee hiyo
    Rais Kikwete katika picha ya pamoja na kamati ya maandalizi ya harambee hiyo iliyoongozwa na mwenyekiti wake Mzee Arnold Kilewo ( wa kwanza kulia mbele) baada ya harambee hiyo iliyofanyika usiku huu katika ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es salaam ambapo jumla ya shilingi bilioni 1.6 kati ya shilingi bilioni 2 zinazohitajika zilipatikana. Michango hiyo ni ya kufanikisha upanuzi wa chuo hicho katika awamu ya pili.

    0 maoni:

    Chapisha Maoni