.

.

.

.

.

.

.

,

,

.

.

Jumatatu, 2 Machi 2015

Tagged Under:

AZAM FC YAMTIMUA KOCHA WAKE JOSEPH OMOG BAADA YA KIPIGO CHA UGENINI

By: Unknown On: Jumatatu, Machi 02, 2015
  • Share The Gag

  • Na Bertha Lumala, Dar es Salam
    Kipigo cha mabao 3-0 ugenini dhidi ya El-Merrikh ya Sudan, kimemponza kocha Joseph Omog baada ya uongozi wa Azam FC kuamua kumtimua.
    Kwa mujibu wa taarifa iliyowekwa kwenye mtandao wa facebook wa Azam FC muda mfupi uliopita, Uongozi wa Azam FC umetangaza kumtimua raia huyo wa Cameroon.
    Taarifa hiyo inasomeka: “Uongozi wa Azam FC unatangaza kuachana na kocha wake mkuu Joseph Omog baada ya kuwa naye kwa miezi 14.
    Omog aliyeipa Azam FC ubingwa wa kwanza msimu uliopita ameondoka pamoja na msaidiI wake Ibrahim Shikanda.
    Kwa sasa timu itakuwa chini ya George Best Nsimbe.”

    0 maoni:

    Chapisha Maoni