Jumatatu, 2 Machi 2015
Tagged Under:
Jeneza
lililobeba mwili wa aliyekuwa Mbunge wa Mbinga Magharibi na Mjumbe wa
Halmashauri kuu ya CCM marehemu John Damiano Kumba ukipokelewa katika
uwanja wa ndege wa Songe na umati mkubwa wa waombolezaji wakiongozwa na
Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma,Mhe.Mwambungu,Mhe.John Nchimbi,Mbunge
wa Songea Mjini,na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais(Kazi Maalum)Mark
Mwandosya,kulia. Marehemu anatarajiwa kuzikwa kijijini kwake Lituhi,
Wilaya ya Nyasa, Kesho. Picha na Michuzi blog
MWILI WA HAYATI KEPTENI JOHN DAMIANO KOMBA WAWASILI SONGEA, TAYARI KWA MAZISHI LEO JUMANNE MARCH 3, 2015
By:
Unknown
On: Jumatatu, Machi 02, 2015
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
0 maoni:
Chapisha Maoni