Loïc Remy dakika ya 77 aliipa bao la
tatu Chelsea na kufanya matokeo kuwa 3-2 na mpira kumalizika kwa Chelsea
kuibuka kidedea. Ushindi huu unawapaisha Chelsea kileleni wakiwa na
pointi 6 wakiwa na pointi 67 dhidi ya Man City ambaye yupo nafasi ya
pili ambaye ana pointi 61.
Remy alikimbia na kupongezana Viongozi wake akiwemo Kocha Mkuu Jose Mourinho
Remy akimfunga kipa wa Hull Allan McGregor na kuipa Chelsea pointi tatu muhimu leo hii.
Abel Hernandez akifanya yake dhidi ya Thibaut Courtois leo Jumapili
Kipa nae kacheza leo!
Dakika ya 28 Ahmed El Mohamadyanaipatia bao la kusawazisha Hull City na kufanya 2-2.
Dakika ya 26 Ahmed El Mohamadyanaipatia bao Hull City na kufanya 2-1.
Eden Hazard anaifungia bao la mapema dakika ya 2 baada ya kulishwa mpira na Diego Costa
0 maoni:
Chapisha Maoni