.

.

.

.

.

.

.

,

,

.

.

Jumatatu, 23 Machi 2015

Tagged Under:

FULL TIME: HULL CITY 2 vs 3 CHELSEA,

By: Unknown On: Jumatatu, Machi 23, 2015
  • Share The Gag
  • Loïc Remy dakika ya 77 aliipa bao la tatu Chelsea na kufanya matokeo kuwa 3-2 na mpira kumalizika kwa Chelsea kuibuka kidedea. Ushindi huu unawapaisha Chelsea kileleni wakiwa na pointi 6 wakiwa na pointi 67 dhidi ya Man City ambaye yupo nafasi ya pili ambaye ana pointi 61.

    Remy ran over to the touchline to celebrate with the Chelsea staff as Jose Mourinho dishes out instructions to his team
    Remy alikimbia na kupongezana Viongozi wake akiwemo Kocha Mkuu Jose Mourinho
    Remy's effort squirmed under the legs of Hull City goalkeeper Allan McGregor to give Chelsea the three points
    Remy akimfunga kipa wa Hull Allan McGregor na kuipa Chelsea pointi tatu muhimu leo hii.
    Abel Hernandez capitalises on Thibaut Courtois' mistake to get Hull City back on level terms against Chelsea on Sunday
    Abel Hernandez akifanya yake dhidi ya  Thibaut Courtois leo Jumapili
    The young Belgian goalkeeper tried to dribble past Gaston Ramirez with the ball but it fell to Hull striker HernandezKipa nae kacheza leo!

    Dakika ya 28 Ahmed El Mohamadyanaipatia bao la kusawazisha Hull City na kufanya 2-2.
    Dakika ya 26 Ahmed El Mohamadyanaipatia bao Hull City na kufanya 2-1.
    Dakika ya 9 tena Diego Costa anaifungia bao Chelsea na kufanya 2-0 dhudi ya Hull kwenye uwanja wa KC Stadium.

    Eden Hazard anaifungia bao la mapema dakika ya 2 baada ya kulishwa mpira na Diego Costa

    0 maoni:

    Chapisha Maoni