Hayo
ndio yaliyomkuta Skrtel, Mchezaji wa Kimataifa wa Slovakia mwenye Miaka
30, ambae amepewa hadi Leo Saa 3 Usiku kujibu Shitaka lake.
Ikiwa atapatikana na hatia, Sentahafu huyo atafungiwa Mechi 3 na atazikosa Mechi 2 za Ligi Kuu England za Aprili 4 huko Emirates na Arsenal na ile ya Anfield na Newcastle hapo Aprili 14 na Marudiano ya FA CUP ya Robo Fainali huko Ewood Park na Blackburn Rovers hapo Aprili 8.
Ikiwa atapatikana na hatia, Sentahafu huyo atafungiwa Mechi 3 na atazikosa Mechi 2 za Ligi Kuu England za Aprili 4 huko Emirates na Arsenal na ile ya Anfield na Newcastle hapo Aprili 14 na Marudiano ya FA CUP ya Robo Fainali huko Ewood Park na Blackburn Rovers hapo Aprili 8.
0 maoni:
Chapisha Maoni