.

.

.

.

.

.

.

,

,

.

.

Ijumaa, 10 Julai 2015

Tagged Under:

matokeo yaliyotajwa Wagombea watano kwenye Urais kupitia CCM Dodoma

By: Unknown On: Ijumaa, Julai 10, 2015
  • Share The Gag

  • CCM
    July 10 2015 inaripotiwa taarifa nyingine kutoka Dodoma Tanzania… Watu wengi wamekaa tayari kujua nini ambacho kitaamriwa Dodoma kuhusu Mgombea Urais ambae anateuliwa na CCM kugombea Urais wa Tanzania 2015.
    Majina yalikuwa mengi zaidi ya 38, hii ndio list ambayo imetangazwa kuingia Top Five kupitia ukurasa wa Twitter wa CCM @ccm_tanzania
    CCM II

    0 maoni:

    Chapisha Maoni