.

.

.

.

.

.

.

,

,

.

.

Jumanne, 8 Desemba 2015

Tagged Under:

UEFA CHAMPIONS LEAGUE: MANCHESTER CITY 4 v 2 BORUSSIA MONCHENGLADBACH

By: Unknown On: Jumanne, Desemba 08, 2015
  • Share The Gag

  • Raheem Sterling alifunga bao mbili na kutengeneza mabao mengine Manchester City walipoichabanga bao 4 kwa 2 Borussia Monchengladbach_ 4-2 na kukaa kileleni kwenye Group D.Raheem Sterling akishangilia moja ya bao lake
    Kolarov kwenye patashika baada ya kutupwa nje ya Uwanja na kuangukia kwa waandishi wa HabariHatari tupu!!!Chupuchupu!! Borussia Monchengladbach nao wakishangilia bao lao moja wapo
    Silva akishangilia bao lake la kwanzaKikosi cha Man City

    0 maoni:

    Chapisha Maoni