.

.

.

.

.

.

.

,

,

.

.

Alhamisi, 31 Desemba 2015

Tagged Under:

RONALDO BADO NI BALAA AIPA USHINDI REAL LEO!

By: Unknown On: Alhamisi, Desemba 31, 2015
  • Share The Gag

  • Ronaldo akishangilia moja ya  bao lakeLeo La Liga imerejea tena na ndani ya Santiago Bernabeu, Mchezaji Bora Duniani Cristiano Ronaldo aliiongoza Real Madrid kuichapa Real Sociedad Bao 3-1 na kuongoza Ligi hii ya Spain pengine kwa muda tu hadi baadae Usiku huu.
    Ronaldo alikosa kuipa Real Bao wakati walipopewa Penati na yeye kuipaisha juu lakini Dakika ya 42 wakapata Penati nyingine na yeye kupiga tena na kufunga.
    Hadi Mapumziko, Real 1 Sociedad 0.
    Dakika 4 tu baada ya Kipindi cha Pili kuanza Real Sociedad wakasawazisha kwa Bao la Armindo Bruma lakini Ronaldo akaipa Real Bao la Pili alipounganisha Kona ya Marcelo.

    Bao la 3 kwa Real lilifungwa na Lucas Vazquez, alieingizwa Kipindi cha Pili kumbadili Karim Benzema, na hilo kuwa Bao lake la kwanza kabisa kwa Real.

    0 maoni:

    Chapisha Maoni