Willian akishangilia bao lake baada ya kuifunga Timu ya FC Porto ikiwa ni bao la pili Jose Mourinho chini akiendesha mapambano ya kuwakumbusha wachezaji wake Willian alifunga bao la pili kwa shuti kaliDiego Costa akipongezwa na Hazard Diego aliachia shuti kali ambalo lilizaa bao la kujifunga wao wenyewe FC Porto mbele ya Mlinda mlango wao Casillas.
Alhamisi, 10 Desemba 2015
Tagged Under:
UEFA CHAMPIONS LEAGUE: CHELSEA 2 v 0 PORTO, BLUES WASONGA MBELE, WILLIAN AFUNGA BAO MATATA!
By:
Unknown
On: Alhamisi, Desemba 10, 2015
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
0 maoni:
Chapisha Maoni