Tagged Under:
WASHINDI AIRTEL YATOSHA ZAIDI WAKABIDHIWA MAGARI
By:
Unknown
On: Jumatano, Februari 11, 2015
Mkurugenzi
wa masoko wa Airtel bw. Levi Nyakundi (kushoto) akimkabidhi mmoja kati
ya washindi wa promosheni ya Yatosha Zaidi bi. Mwajabu Omary leo katika
makabidhiano yaliyofanyika katika ofisi za makao makuu ya Airtel
Tanzania. Anayeshuhudia (katikati) Mkurugenzi wa wa kitengo cha
Mawasiliano bi Beatrice Singano Mallaya .Airtel imekabidhi magari matatu
katika hafla hiyo.
KAMPUNI
Ya simu za mkononi ya Airtel Tanzania leo asubuhi imekabidhi magari kwa
washindi watatu wa kwanza wa promoseni ya Yatosha Zaidi.
Hafla
hiyo fupi ya kuvutia ilifanyika Makao Makuu ya Airtel jijini Dar es
Salaam na kushuhudiwa na waandishi wa habari, wafanyakazi wa Airtel na
wageni waalikwa kadhaa.
Mkurugenzi wa Masoko wa Airtel Levi
Nyakundi aliwaomba washindi kuendelea kutumia mtandao wa Airtel kwani
kwa sasa wao ni sehemu ya familia ya kampuni hiyo.
0 maoni:
Chapisha Maoni