Na Amplifaya Amplifaya
KOCHA wa timu ya Taifa ya Kuogelea, Alex
Mwaipasi amesema Tanzania inatarajiwa
kushiriki kwenye mashindano ya Kanda ya Nne
yaliyopangwa kufanyika nchini Angola, Mei
mwaka huu.
Mwaipasi amesema Tanzania inatarajiwa
kushiriki kwenye mashindano ya Kanda ya Nne
yaliyopangwa kufanyika nchini Angola, Mei
mwaka huu.
Mara ya mwisho mashindano hayo kufanyika
ilikuwa ni mwaka jana nchini Uganda ambapo
Tanzania iliwakilishwa na wachezaji kadhaa
waliofanya vizuri wakiwamo Hilal Hilal na Sonia
Tomiotto.
ilikuwa ni mwaka jana nchini Uganda ambapo
Tanzania iliwakilishwa na wachezaji kadhaa
waliofanya vizuri wakiwamo Hilal Hilal na Sonia
Tomiotto.
Akizungumza jana, Mwaipasi
alisema katika kuhakikisha wanafanya vizuri
katika mashindano ya mwaka huu, tayari
wameshaanza mchakato wa kusaka kikosi bora.
alisema katika kuhakikisha wanafanya vizuri
katika mashindano ya mwaka huu, tayari
wameshaanza mchakato wa kusaka kikosi bora.
“Tumeanza mchakato wa kuwatafuta wachezaji
bora kutoka mikoa ya Mwanza, Arusha,
Morogoro na Dar es Salaam na tuna imani
mambo yatakuwa mazuri tutakapoanza kambi
baadaye,” alisema Mwaipasi.
bora kutoka mikoa ya Mwanza, Arusha,
Morogoro na Dar es Salaam na tuna imani
mambo yatakuwa mazuri tutakapoanza kambi
baadaye,” alisema Mwaipasi.
Alisema wachezaji hao watafuatiliwa mwenendo
wao katika mashindano ya kitaifa
yatakayofanyika mwezi ujao, na mashindano ya
wazi ya Afrika yatakayofanyika nchini Afrika
Kusini.
wao katika mashindano ya kitaifa
yatakayofanyika mwezi ujao, na mashindano ya
wazi ya Afrika yatakayofanyika nchini Afrika
Kusini.
0 maoni:
Chapisha Maoni