MANCHESTER CITY 5 vs 0 NEWCASTLE UNITED, CITY WAICHINJA CHINJA NEWCASTLE NYUMBANI ETIHAD, YAYA TOURE NA BONY WAKIRUDI. SILVA APIGA BAO MBILI!
Samir Nasri dakika ya 12 kipindi cha kwanza akipeta baada ya kupata bao.Manchester City walipata bao mapema la mkwaju wa penati dakika ya 2 na bao la pili lilitiwa kimiani na Samir Nasri dakika ya 12 na Edin Dzeko kuishona bao la tatu na kufanya 3-0 kipindi cha kwanza.
0 maoni:
Chapisha Maoni