MANCHESTER CITY 5 vs 0 NEWCASTLE UNITED, CITY WAICHINJA CHINJA NEWCASTLE NYUMBANI ETIHAD, YAYA TOURE NA BONY WAKIRUDI. SILVA APIGA BAO MBILI!
David Silva dakika ya 51 na 53 kaifungia bao mbili Man City na kufanya bao kuwa 5-0 Kwenye Uwanja wa Nyumbani Etihad.
Samir Nasri dakika ya 12 kipindi cha kwanza akipeta baada ya kupata bao.
0 maoni:
Chapisha Maoni