
Azam
FC itakuwa mgeni wa Ruvu Shootings katika uwanja wa Mabatini wakijaribu
kuongeza tofauti ya pointi na Yanga ili kuendelea kushika usukani wa
#VPL. Itaweza kuondoka na ushindi dhidi ya timu iliyokamia kutofungwa
nyumbani?

Copyrights @ 2014, Gagism Blogger Template - Designed By Templateism | ProBloggerTricks Back to Top
0 maoni:
Chapisha Maoni