R.I.P Mez B
Ijumaa, 20 Februari 2015
Tagged Under:
Mwanamuziki
Moses Bushangama maarufu kama Mez B amefariki dunia. Mez B alikuwa
mmoja wa wanamziki wanaounda kundi la Chamber squard,amefariki leo mjini
Dodoma, habari hizi zimethibitishwa na mama yake mzazi.
R.I.P Mez B
MOSES BUSHANGAMA "MEZ B" AFARIKI DUNIA SIKU YA LEO
By:
Unknown
On: Ijumaa, Februari 20, 2015
R.I.P Mez B
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
0 maoni:
Chapisha Maoni