Tagged Under:
Alichokiongea Diamond Platnumz baada ya Tuzo za BET
By:
Unknown
On: Jumatatu, Juni 27, 2016
June 27 2016 kuna story nyingi za Entertaiment zimechukua Headlines
na moja kati ya story za Entertaiment ambazo zimechukua Headlines ni
hizi kutoka Perfecto TV, Diamond Platnumz amefunguka baada ya tuzo aliyokuwa akiwania kwenda kwa Black Coffee wa South Africa.
‘Kila kitu kimeenda fresh
na tuzo za Afrika zimeenda kwa Black Coffee, unatakiwa umshukuru mungu
kwa kila kinachotokea na hata ukiangalia kwa mwaka jana Tanzania ndio
Nchi ambayo imepokea tuzo nyingi sana za Internationa kwa hiyo watu
waendelee tu kussuport‘ Diamond Platnumz
0 maoni:
Chapisha Maoni