.

.

.

.

.

.

.

,

,

.

.

Jumapili, 8 Januari 2017

Tagged Under:

EMIRATES FA CUP – RAUNDI YA 3: LEO KUANZA WEST HAM vs MAN CITY, JUMAMOSI KUENDELEA..

By: Unknown On: Jumapili, Januari 08, 2017
  • Share The Gag

  • Mechi za Raundi ya 3 ya Kombe Kongwe kabisa Duniani, FA CUP, zinaanza Leo kwa Mechi moja tu kati ya West Ham na Manchester City itakayochezwa huko London Stadium, Jijini London.
    Raundi ya 3, ambayo inaipumzisha EPL, Ligi Kuu England, Wikiendi hii, ndio inayoingiza kwa mara ya kwanza Timu za EPL na zile za Daraja la chini yake, Championship, kushiriki Mashindano haya yaliyotanguliwa na Raundi za Awali zilizohusishwa Timu za Madaraja ya chini.

    Jumamosi zipo Mechi 25 na fungua dimba Mchana na huko Old Trafford Jijini Manchester wakati Mabingwa Watetezi Manchester United wakicheza na Timu ya Daraja la Championship Reading ambayo Meneja wake ni Jaap Stam aliewahi kuwa Sentahafu mahiri wa Man United chini ya Meneja Lejendar Sir Alex Ferguson.

    JE WAJUA?

    -FA CUP 2016/17, ambalo pia hujulikana kama FA Challenge Cup, ni mara ya 136 kushindaniwa kila Mwaka tangu lilipoanzishwe na linatambuliwa kama ndio Mashindano ya kale kupita yote Duniani.
    -Kombe hili linadhaminiwa na Kampuni ya Ndege ya Emirates na kwa sababu za kiudhamini linaitwa Emirates FA Cup.

    -Timu 736 zilikubaliwa kushiriki Mashindano haya Msimu huu na yalianza kwa Raundi ya Awali na yatafikia Tamati kwa Fainali itakayochezwa Uwanjani Wembley Jijini London hapo Mei 27, 2017.
    -Mshindi wa FA CUP ataingizwa Hatua ya Makundi ya UEFA EUROPA LIGI Msimu wa 2017/18.
    -Bingwa Mtetezi ni Manchester United.



    EMIRATES FA CUP:
    Ratiba

    Mechi zote kuanza Saa 12 Jioni isipokuwa inapotajwa
    Ijumaa Januari 6
    22:55 West Ham United v Manchester City

    Jumamosi Januari 7
    15:30 Manchester United v Reading
    Accrington Stanley v Luton Town
    Barrow v Rochdale
    Birmingham City v Newcastle United
    Blackpool v Barnsley
    Bolton Wanderers v Crystal Palace
    Brentford v Eastleigh
    Brighton & Hove Albion v Milton Keynes Dons
    Bristol City v Fleetwood Town
    Everton v Leicester City
    Huddersfield Town v Port Vale
    Hull City v Swansea City
    Ipswich Town v Lincoln City
    Millwall v Bournemouth
    Norwich City v Southampton
    Queens Park Rangers v Blackburn Rovers
    Rotherham United v Oxford United
    Stoke City v Wolverhampton Wanderers
    Sunderland v Burnley
    Sutton United v AFC Wimbledon
    Watford v Burton Albion
    West Bromwich Albion v Derby County
    Wigan Athletic v Nottingham Forest
    Wycombe Wanderers v Stourbridge
    2030 Preston North End v Arsenal
     

    Jumapili Januari 8
    1430 Cardiff City v Fulham
    1630 Liverpool v Plymouth Argyle
    Chelsea v Peterborough United
    Middlesbrough v Sheffield Wednesday
    1900 Tottenham Hotspur v Aston Villa

    Jumatatu Januari 9
    2245 Cambridge United v Leeds United

    0 maoni:

    Chapisha Maoni