.

.

.

.

.

.

.

,

,

.

.

Jumatatu, 16 Januari 2017

Tagged Under:

EPL: EVERTON 4 vs 0 MANCHESTER CITY, PEP NA CITY YAKE WATEKETEZWA UGENINI

By: Unknown On: Jumatatu, Januari 16, 2017
  • Share The Gag

  • Everton's Kevin Mirallas (centre) celebrates scoring his side's second goalEverton's Ademola Lookman celebrates scoring their fourth goal
    EVERTON Leo huko Goodison Park imewaonyesha Manchester City kwenye Mechi ya EPL, Ligi Kuu England, kwa kuwatandika Bao 4-0 kipigo ambacho ni kibaya mno kwa Meneja wa City katika himaya yake kwenye Mechi za Ligi.
    City walikuwa nyuma 1-0 hadi Haftaimu kwa Bao la Romelu Lukaku la Dakika ya 34.
    Kipindi cha Pili Everton wakatandika Bao nyingine 3 katika Dakika 47, 79 na 90 Wafungaji wakiwa Kevin Mirallas na Chipukizi Tom Davies na Ademola Lookman.
    Matoke ohayo yamewaacha City wakiwa Nafasi ya 5 na Everton wakiwa Nafasi ya 7.
    Mechi inayofuata kwa City ni Jumamosi ijayo wakiwa kwao Etihad kucheza na Timu ngumu Tottenham Hotspur wakati Everton wako Ugenini huko Selhurst Park kucheza na Crystal Palace.

    Everton's Ademola Lookman celebrates scoring their fourth goal with Romelu LukakuAdemola Lookman scores Everton's forth goal
    VIKOSI VILIVYOANZA:
    EVERTON:
    Robles, Holgate, Ashley Williams, Funes Mori, Coleman, Davies, Barry, Baines, Barkley, Mirallas, Lukaku
    Akiba: Schneiderlin, Jagielka, Lennon, McCarthy, Valencia, Stekelenburg, Lookman.
    MAN CITY: Bravo, Sagna, Otamendi, Stones, Clichy, Zabaleta, Touré, Silva, De Bruyne, Sterling, Agüero
    Akiba: Kolarov, Caballero, Jesus Navas, Delph, Sané, Iheanacho, García.
    Everton's Tom Davies celebrates scoring their third goalEverton's Tom Davies celebrates scoring their third goalEverton's Tom Davies scores their third goalClaudio Bravo fails to saves Kevin Mirallas's shot giving Everton a 2-0 leadEverton's Kevin Mirallas scores their second goalTom Davies of Everton clears the ball off his own goal lineRomelu Lukaku celebrates after scoring the opening goalverton's Romelu Lukaku celebrates scoring their first goalEverton's Romelu Lukaku scores their first goalKevin De Bruyne shoots at goal from a free kickRamiro Funes Mori in action with Raheem Sterling

    0 maoni:

    Chapisha Maoni