.

.

.

.

.

.

.

,

,

.

.

Jumamosi, 21 Januari 2017

Tagged Under:

Ay kaandika ‘Ndugu zangu Wasanii nimeona sio vibaya kuwaambia hili’

By: Unknown On: Jumamosi, Januari 21, 2017
  • Share The Gag


  • Ay ambaye ni staa wa smash hit ya ‘zigo’ na kwasasa akiwa ana brand new single na Nyasinski amechukua time yake na kuwaandikia Wasanii wenzake yafuatayo >>>> ‘Ndugu zangu Wasanii wa kibongo, Wadau na Mashabiki wa muziki nimeona sio vibaya kuwashirikisha na nyie jambo hili
    Ili Producers wa Kibongo waweze kubadilisha Tunes kwa beats zao na waendelee kutisha KULIKO JANA nawaomba wasanii wenzangu muweke utaratibu wa kusafiri nao mnavyotoka nje ya Afrika Mashariki wakienda, wakiona, wakijifunza na kujiongeza LAZIMA TUTATISHA SANA‘ – AY
    Nimeona sana Afrika Magharibi wana hesabu hizo ndio maana wana Tunes za kila aina,Tuna Producers wazuri sana ila wanahitaji kusafiri zaidi,Mfano mzuri ni @majani187 @nahreel@hermyb na @marcochali wamepata exposure ndio maana wana Tunes Unique‬ all the time #ZEE – @AyTanzania kwenye Instagram
    UMEPITWA? Kijana aliyemshtua Mama Kanumba, Dully Sykes kuhusu ushirikiano na Alikiba je? tazama kwenye hii video hapa chini kujionea kila kitu

    0 maoni:

    Chapisha Maoni