Ligi
ya Spanish Primera División, Mtanange wa Real Madrid umemalizika hivi
punde na huku Vinara wa ligi hiyo Real Madrid wakiichakaza Bao 5-0 Timu
ya Chini ya Granada.
Bao za Real Zimefungwa na
Isco (12', 31')
Karim Benzema (20')
Cristiano Ronaldo (27')
Casemiro (58')
0 maoni:
Chapisha Maoni