.

.

.

.

.

.

.

,

,

.

.

Jumamosi, 27 Desemba 2014

Tagged Under:

TAMASHA LA WAFALME: DIAMOND, MZEE YUSUF

By: Unknown On: Jumamosi, Desemba 27, 2014
  • Share The Gag

  • Diamond Platnumz akisema na mashabiki wake waliofurika Dar Live usiku wa kuamkia leo.
    Diamond na Idris wakifanya yao stejini.

    Idris Sultan akimtambulisha kwa mashabiki wa Dar Live mshikaji wake aliyekuwa naye kwenye mjengo wa BBA, Samantha wa Afrika Kusini.
    Diamond akichana mistari ya wimbo wa Muziki Gani na mshikaji aliyepanda stejini kumwakilisha Nay wa Mitego.
    Baada ya mshikaji huyo kufanya makamuzi ya hatari, Diamond aliamua kumpatia shilingi 50,000.
    Diamond akizidi kuwapa raha mashabiki wake wa Dar Live.
    Nyomi ya kutisha ndani ya Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live.
    Diamond akifanya makamuzi na dansa wake.
    Dansa wa Diamond akionyesha umahiri wake stejini.
    ...Sebene time.
    Diamond akilitawala jukwaa kwa sarakasi.
    NIMEMALIZA: Diamond baada ya kuwakonga nyoyo mashabiki wake waliofurika Dar Live na wao kuridhika aliamua kupozi nao kwa picha hii.
    Ijumaa Sexiest Bachelor anayemaliza muda wake, Yusuf Mlela akiwasalimia mashabiki.

    0 maoni:

    Chapisha Maoni