.

.

.

.

.

.

.

,

,

.

.

Alhamisi, 4 Desemba 2014

Tagged Under:

AFCON 2015: MAKUNDI YAPANGWA! WENYEJI EQUATORIAL KUNDI A KUUMANA NA CONGO-BRAZZAVILLE.

By: Unknown On: Alhamisi, Desemba 04, 2014
  • Share The Gag
  • Wababe msimu wa 2013DROO ya kupanga Makundi ya AFCON 2015, Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika imefanyika huko Malabo Nchini Equatorial Guinea.
    Wenyeji Equatorial Guinea wako Kundi A pamoja na Congo-Brazzaville, Gabon na Burkina Faso na wao ndio watacheza Mechi ya ufunguzi hapo Januari 17 dhidi ya Congo-Brazzaville.
    Mechi ya Fainali ya Mashindano haya itafanyika hapo Februari 8.
    KUNDI A
    Equatorial Guinea
    Congo-Brazzaville
    Gabon
    Burkina Faso
    KUNDI B
    Zambia
    DR Congo
    Cape Verde
    Tunisia

    KUNDI C
    Ghana
    Senegal
    South Africa
    Algeria

    KUNDI D
    Ivory Coast
    Guinea
    Cameroon
    Mali
    Equatorial Guinea mwenyeji  mwezi Januari.

    0 maoni:

    Chapisha Maoni