.

.

.

.

.

.

.

,

,

.

.

Jumamosi, 15 Novemba 2014

Tagged Under:

EQUITORIAL GUINEA KUANDAA MICHUANO YA DIMBA LA MATAIFA YA AFRIKA 2015.

By: Unknown On: Jumamosi, Novemba 15, 2014
  • Share The Gag

  • Rais wa shirikisho la soka barani afrika Issa Hayatou
    Taifa la Equitorial Guinea ndilo litakaloandaa michuano ya dimba la mataifa ya Afrika mwaka 2015.
    Kulingana na shirikisho la soka barani Afrika, taifa hilo limetajwa baada ya Morrocco kukataa kuandaa michezo hiyo kutokana na hofu ya kusambaa kwa ugonjwa wa Ebola nchini humo.
    Morrocco ilikuwa imeiomba CAF kuahirisha dimba hilo la January 17 hadi Feruary 8.
    CAF vilevile imeipiga marufuku Morrocco kushiriki katika dimba hilo ambalo sasa litaandaliwa na taifa lililoandaa kombe hilo na Gabon mwaka 2012.
    Kombe la michuano ya bara Afrika
    Equitorial Guinea sasa itachukua jukumu lote la kuandaa michuano hiyo yenye mataifa 16.
    CAF imetangaza kuwa mechi hizo zitachezwa katika miji minne ikiwemo Malabo,Mongomo na Ebebiyin. Droo ya mechi hizo itafanyika mjini Malabo tarahe 3 mwezi Disemba.

    Haijabainika iwapo mwenyeji huyo mpya atashiriki katika dimba hilo kwa kuwa timu hiyo ilipigwa marufuku mwezi Julai kwa kuchezesha mchezaji asiyetakikana katika mechi ya kufuzu kwa dimba hilo dhidi ya Mauritania mnamo mwezi May 17.

    A file picture taken on October 29, 2011 shows Equatorial Guinea President Teodoro Obiang Nguema holding the trophy of the African Nations football Cup during the draw ceremony in Malabo. The African Cup of Nations (CAN 2015) will be held in Equatorial Guinea an announcement was made on November 14,2014.


    AFCON 2015
    MECHI ZA MAKUNDI

    RATIBA/MATOKEO:
    Ijumaa Novemba 14

    Sierra Leone 1 vs Ivory Coast 5 
    Botswana 0 vs Tunisia 0

    Jumamosi Novemba 15
    15:30 Malawi v Mali 
    16:00 South Africa v Sudan 
    16:00 Uganda v Ghana 
    16:30 Togo v Guinea 
    17:00 Cape Verde v Niger 
    17:00 Cameroon v DR Congo 
    17:00 Lesotho v Burkina Faso 
    17:00 Mozambique v Zambia 
    17:30 Congo v Nigeria 
    18:00 Angola v Gabon 
    20:00 Egypt v Senegal 
    22:30 Algeria v Ethiopia  

    Jumatano Novemba 19
    16:00 Senegal v Botswana 
    17:00 Ethiopia v Lesotho  
    17:00 DR Congo v Sierra Leone  
    17:00 Gabon v Lesotho  

    0 maoni:

    Chapisha Maoni