Taarifa za
awali ambazo zimeripotiwa hivi punde ni kuhusu ajali
iliyohusisha mabasi mawili, Kamanda polisi mkoa wa Singida, Thobias
Sedoyeka amesema ajali ya basi namba T 531 BCE likitokea Dar es salaam
kwenda Kahama na T 247 lililokuwa linatoka kahama kwenda Dar es salaam
yote ya kampuni moja ya City Boys yamegongana uso kwa uso na kusababisha
vifo vya watu 24 papo hapo na wengine kadhaa kujeruhiwa.
Jumanne, 5 Julai 2016
Tagged Under:
Mabasi mawili yagongana leo na kusababisha vifo Singida
By:
Unknown
On: Jumanne, Julai 05, 2016
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
0 maoni:
Chapisha Maoni