.

.

.

.

.

.

.

,

,

.

.

Ijumaa, 3 Februari 2017

Tagged Under:

COPA DEL REY, NUSU FAINALI: SUAREZ, MESSI WAIZAMISHA ATLETICO KWAO VICENTE CALDERON BAO 2-1.

By: Unknown On: Ijumaa, Februari 03, 2017
  • Share The Gag

  • 2-1Stefan Savic is proving a problem at the back for Atletico MadridMabingwa Watetezi wa Kombe la Mfalme wa Spain, Copa del Rey, Barcelona usiku  wameichapa Atletico Madrid Bao 2-1 huko Estadio Vicente Calderon Jijini Madrid katika Mechi ya Kwanza ya Nusu Fainali.
    Timu hizi zitarudiana Wiki ijayo huko Nou Camp na Mshindi kucheza na Mshindi wa Nusu Fainali nyingine kati ya Deportivo Alaves na Celta Vigo ambao Leo wanacheza Mechi yao ya Kwanza.

    Atletico forward Antoine Griezmannheads to score a goalKwenye Mechi ya Jana, Luis Suarez ndie aliifungia Barca Bao la Kwanza katika Dakika ya 7 alipokokota Mpira toka Mstari wa Kati na kufunga kilaini.
    Barcelona's Lionel Messi celebrates a goal with Luis Suarez
    Dakika ya 33 mzinga wa Lionel Messi kutoka nje ya Boksi uligonga Posti na kutinga na kuwapa Barca Bao la Pili.
    Dakika ya 59, Antoine Griezmann akaipa matumaini Atletico baada ya kufunga Bao pekee kwao.
    Barcelona's Luis Suarez scores their first goalLA LIGA
    Copa del Rey – Nusu Fainali
    Jumatano Februari 1

    Atletico Madrid 1 Barcelona 1

    Alhamisi Februari 2

    2300 Celta Vigo v Deportivo Alaves

    Mechi za Pili
    [Kwenye Mabano Matokeo Mechi ya Kwanza]
    Jumanne Februari 7

    2300 Barcelona v Atletico Madrid [2-1]

    Jumatano Februari 8
    2300 Deportivo Alaves v Celta Vigo

    0 maoni:

    Chapisha Maoni