.

.

.

.

.

.

.

,

,

.

.

Jumatano, 17 Septemba 2014

Tagged Under:

KUNA KITU PEP GUARDIOLA AMEWAONYA MANCHESTER UNITED, NI KIPI HICHO?

By: Unknown On: Jumatano, Septemba 17, 2014
  • Share The Gag

  • Pep Guardiola has warned Manchester United boss Louis van Gaal he cannot afford his top players
    Pep Guardiola amewaonya Man United

    KOCHA wa Bayern Munich, Pep Guardiola amewaonya Manchester United kuwa hawawezi kumudu kuwanunua wachezaji wake bora na amedai hataki kuona nyota wake kama Arjen Robben, Bastian Schweinsteiger na Thomas Muller wanakwenda kucheza ligi kuu England.
    Aliulizwa jana mchana kama aliwahi kumkataliwa Louis van Gaal kusajili wachezaji wake, Guardiola alitikisa kichwa na kusema: Hawana (United) hawakuwa na hela za kutosha"
    The Bayern boss has issued a hands off warning to Manchester United regarding his star players
    Bosi wa Bayern amezua jambo na kuwaonya Manchester United kuhusu wachezaji wake nyota  

    0 maoni:

    Chapisha Maoni