Warembo wanaoshiriki shindano la Redd’s Miss Tanzania 2014 leo wameingia
siku ya pili ya kambi yao jijini Dar es Salaam na baada ya semina
asubuhi na mapumziko ya mchana jioni hii wamefanya mazoezi katika chumba
maalum cha mazoezi ‘Gym’, ungana na mpigapicha wa Father Kidevu Blog
katika picha mbalimbali za warembo hao katika kambi yao.
Jumanne, 16 Septemba 2014
Tagged Under:
WAREMBO MISS TANZANIA WAJIFUA GYM KUIWEKA MIILI YAO FITI"
By:
Unknown
On: Jumanne, Septemba 16, 2014
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
0 maoni:
Chapisha Maoni