Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiongoza Kikao cha Baraza la Mawaziri
kilichofanyika leo tarehe 07 Desemba Ikulu jijini Dar es Salaam. Kikao hicho
pia kilihudhuriwa na Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan pamoja na Waziri Mkuu
Kassim Majaliwa. PICHA NA IKULU
Jumatano, 7 Desemba 2016
Tagged Under:
RAIS DKT. MAGUFULI AONGOZA KIKAO CHA BARAZA LA MAWAZIRI IKULU JIJINI DAR ES SALAAM
By:
Unknown
On: Jumatano, Desemba 07, 2016
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
0 maoni:
Chapisha Maoni