.

.

.

.

.

.

.

,

,

.

.

Jumatatu, 3 Aprili 2017

Tagged Under:

U HEARD: Nay wa mitego adaiwa kuvunja uchumba wa shabiki yake

By: Unknown On: Jumatatu, Aprili 03, 2017
  • Share The Gag


  • Leo April 3 kupitia kipindi cha XXL cha Clouds FM mtangazaji Soudy Brown katuletea U-heard inayomhusu msanii Nay wa Mitego kudaiwa kuvunja uchumba wa shabiki yake kutokana na shabiki huyo kuchora tatoo ya Nay wa Mitego. Ndugu wa mchumba aliyekuwa akitarajia kumuoa dada huyo walikataa baada ya kuona tatoo ya Nay wa Mitego kwake.

    Soudy Brown alipiga story na Nay wa mitego na majibu yake yalikuwa haya.…..>>>“Mimi simfahamu na mimi napendwa na watu wengi sana wengine siwajui so inawezekana ni shabiki tu japo nashukuru maana amechora tatoo mpaka kufikia hatua ya kuachika lakini mimi simfahamu”:- Nay wa mitego

    0 maoni:

    Chapisha Maoni