Maruane
Fellaini ameondeshwa kadi nyekundu baada ya kumpiga kichwa mchezaji wa
City Kun Aguero huku akiwa na kadi ya njano kipindi cha pili. Pia mchezo
huo uliomalizika bila ya kufungana kwa kutoka 0-0 umekuwa ni afueni kwa
Man United kwa kuendeleza mechi nyingi bila kufungwa msimu huu. Na huku
wakionekana kupanda kujihakikishia kuwa kwenye nafasi ya kugombea
nafasi ya nne bora ili kucheza Klabu Bingwa msimu ujao. 
VIKOSI: MAN CITY: Bravo, Zabaleta, Kompany (C), Otamendi, Kolarov, Fernandinho, Yaya Toure, Sterling, De Bruyne, Sane, Aguero
Akiba: Caballero, Sagna, Fernando, Navas, Clichy, Gabriel Jesus, A. Garcia
MAN UNITED: De Gea, Valencia, Blind, Bailly, Darmian, Carrick, Herrera, Fellaini, Mkhitaryan, Martial, Rashford.
Akiba: Romero, Shaw, Fosu-Mensah, Tuanzebe, Young, Lingard, Rooney








Mtizame
Mchezaji wa Kimataifa wa Armenia, Henrikh Mkhitaryan, ambae kwenye
Mechi yake ya kwanza tu Klabuni hapo, walipofungwa na Man City Mwezi
Septemba, alitolewa nje lakini hilo halikumkatisha tamaa kwani aliibukia
kwenye UEFA EUROPA LIGI na kung’ara na kurudi tena Kikosi cha Kwanza. 




Ferguson amekuwa Meneja wa United kwa miaka 27 kwenye miaka ya 1986 na 2013
Juan Mata(kushoto) akipongezwa na wenzake kwa bao lake la pekee katika mchezo huo wa marudiano.
cha
pili dakika ya 70 Juan Mata aliwafungia Man United bao na kubadilisha
matokeo ya awali na kuwa (2-1 kwenye Agg.) Hku katika Mchezo huo wa
raundi ya 16 Man United wakimbadilisha Paul Pogba dakika ya 48 aliyeumia
na kuondolewa na nafasi yake kuchukuliwa na Fellaini. Manchester United
pia walimbadilisha Beki Blind dakika ya 64 na kumuingiza Jones. Pia
katika mchezo huo Zlatan alicheza vyema kipindi cha kwanza na kidogo
afunge aligonga mwamba.
Hadi dakika 45 za kipindi cha kwanza zinamalizika Man Unied 0 Rostov 0.

