
Licha ya Thamani ya Real kuporomoka kwa Asilimia 5 na kufikia Dola Bilioni 3.26, Mapato yao ya Dola Milioni 746 yamewaweka Nambari Wani.
Kwenye 20 Bora, Klabu 8 zinatoka Ligi Kuu England wakati Serie A ina Timu 4 ingawa ya juu kabisa ipo Nafasi ya 9.

TIMU 10 ZENYE THAMANI ($ NI MABILIONI)
1. Real Madrid $3.26
2. Barcelona $3.16
3. Manchester United $3.10
4. Bayern Munich $2.35
5. Manchester City $1.38
6. Chelsea $1.37
7. Arsenal $1.31
8. Liverpool $982
9. Juventus $837
10. AC Milan $775

0 maoni:
Chapisha Maoni