.

.

.

.

.

.

.

,

,

.

.

Jumatatu, 1 Juni 2015

Tagged Under:

CHEKA AMKALISHA MCHINA KWA T.K.O PTA SABASABA JIJINI

By: Unknown On: Jumatatu, Juni 01, 2015
  • Share The Gag

  • Bondia Francis Cheka (kulia) akipambana na Kiatchai Singwancha wakati wa mpambano wao uliofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita Cheka alishinda kwa T.K.O ya raundi ya nane
    Bondia Francis Cheka (kulia) akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Kiatchai Singwancha wakati wa mpambano wao uliofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita katika ukumbi wa P.T.A Sabasaba Cheka alishinda kwa T.K.O ya raundi ya nane

    Bondia Shabani Kaoneka (kulia) akimtupia konde la nguvu Zumba Kukwe wakati wa mpambano wao uliofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita Kaoneka alishinda mpambano huo kwa pointi

    Bondia Seleman Zugo (kushoto) akipambana na Twaha Kiduku wakati wa mpambano wao uliofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita
    Bondia Francis Cheka (kulia) akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Kiatchai Singwancha wakati wa mpambano wao uliofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita katika Ukumbi wa P.T.A Sabasaba Cheka alishinda kwa T.K.O ya raundi ya nane

    0 maoni:

    Chapisha Maoni