
Bondia
Francis Cheka (kulia) akipambana na Kiatchai Singwancha wakati wa
mpambano wao uliofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita Cheka alishinda kwa
T.K.O ya raundi ya nane

Bondia
Francis Cheka (kulia) akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na
Kiatchai Singwancha wakati wa mpambano wao uliofanyika mwishoni mwa wiki
iliyopita katika ukumbi wa P.T.A Sabasaba Cheka alishinda kwa T.K.O ya
raundi ya nane
Bondia
Shabani Kaoneka (kulia) akimtupia konde la nguvu Zumba Kukwe wakati wa
mpambano wao uliofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita Kaoneka alishinda
mpambano huo kwa pointi
Bondia Seleman Zugo (kushoto) akipambana na Twaha Kiduku wakati wa mpambano wao uliofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita

Bondia
Francis Cheka (kulia) akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na
Kiatchai Singwancha wakati wa mpambano wao uliofanyika mwishoni mwa wiki
iliyopita katika Ukumbi wa P.T.A Sabasaba Cheka alishinda kwa T.K.O ya
raundi ya nane
0 maoni:
Chapisha Maoni