Na kama ndiyo kwanza unasikia basi fahamu tu kuwa vilabu 13 kutoka ukanda wa Afrika masharik na kati vitakuwa vikichuana ili kuutwaa ubingwa wa Kombe la Kagame ambalo linaenda sambamba na mgawanyo wa dola elfu 60 za kimarekani kutoka kwa Rais wa Rwanda Paul Kagame. Tayari Timu ya wanamichezo wa BBC imeanza kuifuatilia michuano hiyo na tutakuletea mambo yote.
Ijumaa, 17 Julai 2015
Tagged Under:
Timu
zote zinazoshiriki michuano ya Kombe la Kagame zinatakiwa kufika mjini
Dar es Salaam si zaidi ya leo tarehe 16 mwezi wa saba tayari kwa kuanza
kipute jumamosi. Kwa hivyo bila shaka hii leo kufikia jioni vikosi vyote
vya timu 13 vitakuwa vimefika nchini Tanzania. Timu zote zinatakiwa
kujilipia gharama za usafiri huku mambo mengine yakifanywa na waandaaji.
Na kama ndiyo kwanza unasikia basi fahamu tu kuwa vilabu 13 kutoka ukanda wa Afrika masharik na kati vitakuwa vikichuana ili kuutwaa ubingwa wa Kombe la Kagame ambalo linaenda sambamba na mgawanyo wa dola elfu 60 za kimarekani kutoka kwa Rais wa Rwanda Paul Kagame. Tayari Timu ya wanamichezo wa BBC imeanza kuifuatilia michuano hiyo na tutakuletea mambo yote.
KAGAME CUP: TIMU ZOTE TAYARI ZIMEWASILI JIJINI DAR ES SALAAM. MECHI ZOTE KUONESHWA LIVE DSTV
By:
Unknown
On: Ijumaa, Julai 17, 2015
Na kama ndiyo kwanza unasikia basi fahamu tu kuwa vilabu 13 kutoka ukanda wa Afrika masharik na kati vitakuwa vikichuana ili kuutwaa ubingwa wa Kombe la Kagame ambalo linaenda sambamba na mgawanyo wa dola elfu 60 za kimarekani kutoka kwa Rais wa Rwanda Paul Kagame. Tayari Timu ya wanamichezo wa BBC imeanza kuifuatilia michuano hiyo na tutakuletea mambo yote.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
0 maoni:
Chapisha Maoni