Mabingwa
wa England Chelsea wanebamizwa Bao 4-2 na New York Red Bulls wakati
Kijana wa Miaka 16 akiwatoboa moja ya Bao hizo huko Red Bull Arena, New
York katika Mechi yao ya kwanza Ziarani USA.
Bao
za Chelsea zilifungwa na Loic Remy na Eden Hazard lakini ni New York
Red Bulls waliokwenda mbele 3-1 huku Tyler Adams, Kijana wa Miaka 16,
akipiga moja ya Bao hizo.
Bao Nyingine za Red Bull zilifungwa na Franklin Casterllanos na Davis Bao 2.
Mechi ifuatayo kwa Chelsea ni hapo Jumamosi dhidi ya PSG.
Adams akichuana na Oscar

Victor Moses

Wachezaji wa Chelsea wakipongezana bao lao

Diego Costa akituliaza mpira

Costa chupuchupu apate bao hapa

Eden Hazard akiruka juu kumpita adui

Ramires akiparanganyika kwenye patashika kuutafuta mpira
0 maoni:
Chapisha Maoni