Na kama ndiyo kwanza unasikia basi fahamu tu kuwa vilabu 13 kutoka ukanda wa Afrika masharik na kati vitakuwa vikichuana ili kuutwaa ubingwa wa Kombe la Kagame ambalo linaenda sambamba na mgawanyo wa dola elfu 60 za kimarekani kutoka kwa Rais wa Rwanda Paul Kagame. Tayari Timu ya wanamichezo wa BBC imeanza kuifuatilia michuano hiyo na tutakuletea mambo yote.
Ijumaa, 17 Julai 2015
KAGAME CUP: TIMU ZOTE TAYARI ZIMEWASILI JIJINI DAR ES SALAAM. MECHI ZOTE KUONESHWA LIVE DSTV
Na kama ndiyo kwanza unasikia basi fahamu tu kuwa vilabu 13 kutoka ukanda wa Afrika masharik na kati vitakuwa vikichuana ili kuutwaa ubingwa wa Kombe la Kagame ambalo linaenda sambamba na mgawanyo wa dola elfu 60 za kimarekani kutoka kwa Rais wa Rwanda Paul Kagame. Tayari Timu ya wanamichezo wa BBC imeanza kuifuatilia michuano hiyo na tutakuletea mambo yote.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni