Jumatatu, 27 Julai 2015
Tagged Under:
Oliver Giroud akishangilia leo kwenye Uwanja wa Emirates
Mzee Wenger na Msaidizi wake Bw. Steve B.
Gibbs akikokota mpira dhidi ya adui Mehdi
Alex akifanya yake
Giroud alianza kufunga bao la kwanza
Giroud akishangilia mara baada ya kuliona lango la wapinzani wao Lyon
Ozil akiutuliza kiuzuri!
Leo Mvua ya Mabao
Alex Lwobi akishangilia mbele ya Mashabiki wa Arsenal
Shangwe!!
Aaron Ramsey nae kachoma bao la nne
Ramsey akipongezwa na Giroud
Pongezi!
Mesut Ozil alifunga bao la tano
Ozil akishangilia kwa kufurahi
Santi Cazorla alimalizia la 6
Leo tumebamiza Mtu!! raha ya Nyumbani!!
EMIRATES CUP: ARSENAL WAKIWA NYUMBANI WAIANGUSHIA MVUA YA MABAO LYON BAO 6-0
By:
Unknown
On: Jumatatu, Julai 27, 2015
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
0 maoni:
Chapisha Maoni