Jumapili, 19 Julai 2015
Tagged Under:
Wachezaji wa Arsenal wakishangilia Ubingwa wao ambao umepatikana kwa kuifunga bao 3-1 Everton
Arsenal 3-1 Everton, Mikel Arteta akiwa amebeba Kombe lao leo hii
Mikel Arteta akiwa amebeba Kombe leo
Mesut Ozil ndiye aliyeifungia bao la tatu Arsenal kwa kufanya 3-1 dhidi ya Everton zote za Ligi Kuu England
Ross aliipatia bao la pekee Everton
Santi Cazorla kafunga la pili
Theo Walcott akishangilia mara baada ya kufunga bao la kwanza
Theo Walcott
Jack na Tom kwenye kasi
Gibbs akiruka juu kugombea mpira
Kikosi cha Arsenal
Kikosi cha Everton kilichoanza kikipata picha ya pamoja
ARSENAL 3 vs 1 EVERTON,
By:
Unknown
On: Jumapili, Julai 19, 2015
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
0 maoni:
Chapisha Maoni