
Huko Ulaya Klabu inayofanikiwa kuwa Bingwa wa Nchi yake na pia kutwaa Kombe la Nchi hiyo na kisha kufanikiwa kubeba Kombe la UEFA CHAMPIONS LIGI kwenye Msimu mmoja huo huo husemwa imetwaa Trebo.


Timu hizi mbili zinapambana huko Berlin, Germany kesho kutwa jumamosi Juni 6 kwenye Fainali ya UEFA CHAMPIONS LIGI na Mshindi atakuwa na Trebo kibindoni.



KLABU ZILIZOWAHI KUTWAA TREBO NI:
-CELTIC 1966/67
-AJAX 1971/72
-PSV EINDHOVEN 1987/88
-MAN UNITED 1998/99
-BARCELONA 2008/09
-INTER MILAN 2009/10
-BAYERN MUNICH 2012/13

Mascherano vs. Tevez

0 maoni:
Chapisha Maoni