.

.

.

.

.

.

.

,

,

.

.

Ijumaa, 2 Oktoba 2015

Tagged Under:

TANZANIA YAPANDA VIWANGO FIFA, LAKINI WAPI BADO KIBONDE AFRIKA MASHARIKI NA KATI

By: Unknown On: Ijumaa, Oktoba 02, 2015
  • Share The Gag

  • TAIFA STARS
    Tanzania imepanda nafasi nne katika viwango vya ubora vya Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa) lakini bado hali yake ni mbaya kwa jumla katika takwimu hizo zilizotolewa jana Alhamisi.


    Takwimu hizo zinaonyesha kuwa Tanzania inashika nafasi ya 136 ikiwa ndiyo nchi ya chini kwa ubora kati ya zile zilizopo Afrika Mashariki katika chati hiyo.

    Argentina imeendelea kubaki namba moja ikifuatiwa na Ujerumani ambayo imepanda kwa nafasi moja ikiishusha Ubelgiji iliyoshika nafasi ya tatu. Ureno imesogea mpaka nafasi ya nne wakati kwa nchi za Afrika inayoongoza ni Algeria ikiwa nafasi ya 19.

    Viwango vya Fifa
    1. Argentina
    2. Ujerumani
    3. Ubelgiji
    4. Ureno
    5. Colombia
    6. Hispania
    7. Brazil
    8. Wales
    9. Chile
    10. England
    93. Rwanda
    75. Uganda
    113. Burundi
    131. Kenya
    136. Tanzania

    0 maoni:

    Chapisha Maoni