

Katikati ya Dabi hizo mbili zipo Mechi 5 za Ligi zikiwemo ile ya Vinara wa Ligi Chelsea wakiwa Ugenini huko Villa Park kucheza na Aston Villa na Mabingwa Watetezi Man City kuwa Nyumbani Etihad kucheza na Hull City.
Jumapili zipo Mechi 3 za Ligi na mojawapo ni ile ya Uwanjani Upton Park wakati West Ham watakapoikaribisha Man United ambao wako Nafasi ya 3 kwenye Ligi.

RATIBA:
Jumamosi Februari 7
15:45 Tottenham vs Arsenal
18:00 Aston Villa vs Chelsea
18:00 Leicester vs Crystal Palace
18:00 Man City vs Hull
18:00 QPR vs Southampton
18:00 Swansea vs Sunderland
20:30 Everton vs Liverpool

15:00 Burnley vs West Brom
17:05 Newcastle vs Stoke
19:15 West Ham vs Man United
Jumanne Februari 10
22:45 Arsenal vs Leicester
22:45 Hull vs Aston Villa
22:45 Sunderland vs QPR
23:00 Liverpool vs Tottenham

22:45 Chelsea vs Everton
22:45 Man United vs Burnley
22:45 Southampton vs West Ham
22:45 Stoke vs Man City
23:00 Crystal Palace vs Newcastle
23:00 West Brom vs Swansea
0 maoni:
Chapisha Maoni